Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kilichoiponza timu ya watoto Zambia:​

Journalist: How do u feel after scoring the winning goal which put your team through to the quarter finals?
Player: Am very happy and I dedicate the goal to my wife and 3 kids, I know they're watching.. Love u guys

This is how Zambia's U-17 team was disqualified from the tournament in Rwanda
Under 17 player married with 3 kids
Love Africa
 
Kipindi tupo advance tulikuwa na jamaa jembe kweli kweli, wakati sie tuko mbele tunavizia yeye huku nyuma yuko peke ake anakaba labda na mwingine mmoja au wawili tu wakimsaidia jamaa alikuwa na nguvu kama hawafu!! Nakumbuka tulikuja kufungwa fainali kwa mbinde tukawa washindi wa pili.
Mwamba kuna siku hakuja shule tulimfata na boda mpaka nyumbani kwao tukaelekezwa yupo mbali tukamfata hukohuko aje aokoe jahazi
aisee noma sana
 
Samaki nchanga!
tapatalk_1483815731912.jpg
 
Back
Top Bottom