antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 49,678
- 130,554
😂😂
Ubunifu mwingine ni shiiida
😂😂
😂😂😅
Yeye mbona ni kama hana🙄
MkorogoMbagala Rangi Tatu ...
View attachment 2284091
Anafanya mazoezi
Umemuazima mtu gari unamuona anakuja kwa mguu kinyonge anakuita pembeni muongee


Hatari faya,,,,shida nini hasa?Hata kwenye baadhi ya post zangu kaja na kashfa, ni mvinyo wa kale kwenye chupa mpya
Wewe ulete kashfa halafu tukunyamizie kwasababu ni mshana jr. Wewe ni mtakatifu au?Hata kwenye baadhi ya post zangu kaja na kashfa, ni mvinyo wa kale kwenye chupa mpya
Kwani alikukosea nini??matusi yako wapi hapo? Mwambie mume ajiheshimu kwanza ili na sisi tumuheshimu aache kujiheshimu halafu ategemee positive results never to me we mama mkanye mumeo we dada
matusi yako wapi hapo? Mwambie mume ajiheshimu kwanza ili na sisi tumuheshimu aache kujiheshimu halafu ategemee positive results never to me we mama mkanye mumeo we dada



keshakuwa mume wangu Mshana Jr uwe shahidi nimeshapewa mume mie. Ila seriously mkuu mimi nadhani una ishu personal na huyu bwana maana kama ni hapa kwenye uzi nipo siku zote sijawahi kuona anamvunjia mtu heshima kwa makusudi. Kama kuna mahali alikukwaza ungesema tu kwa lugha nyepesi matusi hayana tijaWas kumpuuza tu.keshakuwa mume wangu Mshana Jr uwe shahidi nimeshapewa mume mie. Ila seriously mkuu mimi nadhani una ishu personal na huyu bwana maana kama ni hapa kwenye uzi nipo siku zote sijawahi kuona anamvunjia mtu heshima kwa makusudi. Kama kuna mahali alikukwaza ungesema tu kwa lugha nyepesi matusi hayana tija
Chezea wake wanne!!
Mume: niandalie mkeka niswali
Mke: dini inasema uswali msikitini
Mume: dini inasema nioe wake wa4
Mke: nikuwekee chumbani au sebuleni?!!![]()


sio poa,