Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

446af90578a4a7f0d8f8ca4b34be55bd.jpg
😂😂
Ubunifu mwingine ni shiiida
 
matusi yako wapi hapo? Mwambie mume ajiheshimu kwanza ili na sisi tumuheshimu aache kujiheshimu halafu ategemee positive results never to me we mama mkanye mumeo we dada
keshakuwa mume wangu Mshana Jr uwe shahidi nimeshapewa mume mie. Ila seriously mkuu mimi nadhani una ishu personal na huyu bwana maana kama ni hapa kwenye uzi nipo siku zote sijawahi kuona anamvunjia mtu heshima kwa makusudi. Kama kuna mahali alikukwaza ungesema tu kwa lugha nyepesi matusi hayana tija
 
keshakuwa mume wangu Mshana Jr uwe shahidi nimeshapewa mume mie. Ila seriously mkuu mimi nadhani una ishu personal na huyu bwana maana kama ni hapa kwenye uzi nipo siku zote sijawahi kuona anamvunjia mtu heshima kwa makusudi. Kama kuna mahali alikukwaza ungesema tu kwa lugha nyepesi matusi hayana tija
Was kumpuuza tu.

Hawezi sema sababu yeyote,sema tu watu wengine ni washari tu,wanatafuta kila njia ya kutema sumu.

Dawa ni kuvaa miwani nyeusi tu,wewe unamuona yeye akuoni,anaishia kuteseka.
 
Back
Top Bottom