Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,378
Huyu atasumbua mkimpa nafasi maana naona anatukana kila mtu. Tupa kwenye ignore list na maisha yanaendelea.keshakuwa mume wangu Mshana Jr uwe shahidi nimeshapewa mume mie. Ila seriously mkuu mimi nadhani una ishu personal na huyu bwana maana kama ni hapa kwenye uzi nipo siku zote sijawahi kuona anamvunjia mtu heshima kwa makusudi. Kama kuna mahali alikukwaza ungesema tu kwa lugha nyepesi matusi hayana tija
Just click the ignore button, please?

Uyole hapa bana!![]()
Tukuulize wewe 🤣🤣🤣🤣
Sasa hicho kitambaa kwenye stove hakitaungua? Wanyaki bana dah!







