Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Hizi memes zinazosema nobody ni kama nazielewa halafu kama sizielewi fulani hivi
Hizi memes zinazosema nobody ni kama nazielewa halafu kama sizielewi fulani hivi
Wadada na ndoa
Wadada wakiwa na miaka 25 kushuka chini wanataka kuolewa na wanaume wenye Mercedes, Vogue, V8, Bmw, ....
Akifikisha miaka 30 bado holaa, anataka chochote kinachounguruma, hata kama ni tumbo![]()



Huelewi niniHizi memes zinazosema nobody ni kama nazielewa halafu kama sizielewi fulani hivi

kaa pembeni mke wa mshana jr



siwezi kukaa pembeni Katu,cha ajabu wewe ndiye unayeteseka tangia kwenye grupu lile la jamaa yule. Basi endelea tu kukomaa GRAC

unajitahidi mwenyewe lakini wapi mzeiya saikolojia yako chalii. Acha shobo zako za kisukuma hazifanyi kazi, hazijawahi kufanya kazi na hazitafanya kazi maisha yako yote. Na inaonyesha una kila dalili za kuwa wewe ni mgonjwa wa A. Mwanasaikolojia idiot






Just click the ignore button, please?Mwajuma mbona unamambo ya ajabu sana,
ACHA WIVU![]()
Anataka ale kwanza kabla hajala?
