Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Wadada na ndoa​

Wadada wakiwa na miaka 25 kushuka chini wanataka kuolewa na wanaume wenye Mercedes, Vogue, V8, Bmw, ....
Akifikisha miaka 30 bado holaa, anataka chochote kinachounguruma, hata kama ni tumbo😂😄 🤣
 

Kilichoiponza timu ya watoto Zambia:​

Journalist: How do u feel after scoring the winning goal which put your team through to the quarter finals?
Player: Am very happy and I dedicate the goal to my wife and 3 kids, I know they're watching.. Love u guys🖐️

This is how Zambia's U-17 team was disqualified from the tournament in Rwanda🙄
Under 17 player married with 3 kids🤔🙄
Love Africa😅
 
Screenshot_20220708-093241.jpg
 
unajitahidi mwenyewe lakini wapi mzeiya saikolojia yako chalii. Acha shobo zako za kisukuma hazifanyi kazi, hazijawahi kufanya kazi na hazitafanya kazi maisha yako yote. Na inaonyesha una kila dalili za kuwa wewe ni mgonjwa wa A. Mwanasaikolojia idiot

Sijawahi kuwasiliana na wewe. Wala sikujui kabisa. Nilifikiri kuwa tupo hapa tunataniana tu na kucheka kama ilivyo kawaida yetu.

Sina bifu na mtu hapa JF mimi. Na wala sijawahi kuonana na mtu wa JF hata mmoja; na PM yangu nimeshafunga maana niko hapa kujifurahisha tu. Huwa naandika cho chote ninachotaka kwa uhuru wangu bila kubanwa na mtu

Hii ni ID mpya ya kutukania watu naona. Labda tuwaombe mods akina Cookie waunganishe hii ID mpya na yako ya zamani ili tujuane vizuri

Permanently ignored, sir/madame
 
Back
Top Bottom