Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

D
Nchi nzito hii. Kwamba mtu anapanga kwenda kwenye ofisi ya DPP kuiba, tena 'computer' zote? Mkurugenzi wa mashtaka au DPP yupi? Ofisi ya DPP inalindwa na ulinzi mzito. Wanaingia na kuondoka vipi na desktop ? Kwanini waibe PC zenye taarifa za malipo ya fedha za ML? nilihoji hapa, kwanini mnapokea fedha hizo kwa mkono, tena na kupiga picha, mna violate regulations, Kumbe mpango ulikuwa huu!? MNATUTANIA!View attachment 1236772View attachment 1236773
Duu! Polisi wameibiwa?!
 
Kwahiyo hizo computer ndizo zilikuwa zikihifadhi yale mabilioni ya wale tulioambiwa ni mafisadi

Kweli nimeamini watz ni tunazo haki zote za kuitwa vilaza

Itabidi watu wafanyakazi wote kwenye hiyo ofc ya DPP wafunguliwe kesi ya uhujumu uchumi
 
Nchi nzito hii. Kwamba mtu anapanga kwenda kwenye ofisi ya DPP kuiba, tena 'computer' zote? Mkurugenzi wa mashtaka au DPP yupi? Ofisi ya DPP inalindwa na ulinzi mzito. Wanaingia na kuondoka vipi na desktop ? Kwanini waibe PC zenye taarifa za malipo ya fedha za ML? nilihoji hapa, kwanini mnapokea fedha hizo kwa mkono, tena na kupiga picha, mna violate regulations, Kumbe mpango ulikuwa huu!? MNATUTANIA!View attachment 1236772View attachment 1236773
Kwanini taarifa hizo zisihifadhiwe kwa njia ya cyber??

Au kampuni ilikua haina mbs??
 
How to care a baby
FB_IMG_1571391072147.jpeg
 
Back
Top Bottom