Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Yaani hapa ni sawa na "UNAJITEKENYA MWENYEWE, UNACHEKA MWENYEWE". Ofisi nyeti kama ya DPP inawezekana vipi kuibiwa...???!!!
 
Mbona mnataka kubishana na mambo ambayo yameshathibitika yamefanyika? Mbona vichwa vyenu vigumu sana kuelewa?

Nyie sio wahujumu uchumi kweli?
 
Taarifa za kumbukumbu zinakaaje kwenye PC moja moja...
Inamaana kila ofisi za DPP mkoani zinatunza data independently, hakuna shared account....ile data center pale ya nini?
Ofisi ya DPP kigoma ikitaka kutuma ripoti yake wanatumia nini..emails? sidhani, hakuna IT officer mjinga afanye hivyo,
wangesema, Server ya DPP mfano ime-hakiwa na data zote hazipo apo kidogo ningeanza kuelewa
 
Nchi nzito hii. Kwamba mtu anapanga kwenda kwenye ofisi ya DPP kuiba, tena 'computer' zote? Mkurugenzi wa mashtaka au DPP yupi? Ofisi ya DPP inalindwa na ulinzi mzito. Wanaingia na kuondoka vipi na desktop ? Kwanini waibe PC zenye taarifa za malipo ya fedha za ML? nilihoji hapa, kwanini mnapokea fedha hizo kwa mkono, tena na kupiga picha, mna violate regulations, Kumbe mpango ulikuwa huu!? MNATUTANIA!View attachment 1236772View attachment 1236773
Kama serikali inaibiwa tena ofisi ya DPP je sisi raia? tuendelee kumwomba mungu maana amekaribia kurudi.
 
kama serikali inaibiwa namna hii, vipi kuhusu usalama wa mali za wanyonge???
Watanzania siyo wanyonge. Nyie wanasiasa mnapenda kuwaita watanzania wanyonge ili muendelee kuwapora mali zao.

Mimi nimezunguka nchi nzima, wanyonge ni wale wakimbizi na wahamiaji haramu.
 
Hii inathibitisha serikali hii ni ya mijizi, na CCM ni Chama Cha Mijizi
Nakuambia tunaendeshwa na mbwembwe tuu, majukwaani ni "wewe mpumbavu" na majitu yasiyo akili yanashangilia kwa vile wamejengwa na chuki.
Lakini hakuna wizi mkubwa unafanyika kama kipindi hiki. Ngojeni huyu aondoke madarakani kwa hiari au kwa nguvu, ndio mtakapo ona ripoti za CAG za kutisha mpaka mkisikia neno Chatto hasira zinapanda.
 
Back
Top Bottom