Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Your days are also numbered...
View attachment 1978013
Huyu jamaa japo mnamsema sana na kumuotea ila sioni kikubwa kwake, kando na tukio la kuvamia kituo cha habari hamna kingine kikubwa alichonaswa kwenye CCTV, alikua mjanja na inaonekana alikua na washauri wazuri wa namna ya kuwa discrete.
Dogo Mmaasai alikua na ushamba na ubabe wa Kimaasai kwa kuweka vyote bayana, sasa naona bado mnafungua kesi zaidi, mtoto wa watu atateseka sana gerezani.
 
Mwalimu aliyepoteza jino kwa kipigo
FB_IMG_1634583441093.jpg
FB_IMG_1634585362145.jpg
 
Back
Top Bottom