Si nimeona unasema unasaka wa kukuzaliaKweli hata wewe bageshi hujui kuwa ninao wawili? Mke mkubwa nilimuoa zamani wakati nikiwa kijana. Mke mdogo ndo yupo kwenye early 40s hivi na huyu nilimuoa mwaka juzi tu hapa![]()



Si nimeona unasema unasaka wa kukuzaliaKweli hata wewe bageshi hujui kuwa ninao wawili? Mke mkubwa nilimuoa zamani wakati nikiwa kijana. Mke mdogo ndo yupo kwenye early 40s hivi na huyu nilimuoa mwaka juzi tu hapa![]()



Kungekuwa na flyover Wanyaki wangekuwa wanajazana hapo na hata kukanyagana hovyo na kurestishana ini pisiHivi na ile fly over inakopita train hapana lift pale kweli![]()








Nasaka mke wa tatu bageshi. First born wetu anao wanne. Mimi nataka nikomee watatu. Kama kuna kabinti ka Kisukuma huko at least 35+ nifanyie connection nkoyi...Nakūlūmba no no noSi nimeona unasema unasaka wa kukuzalia![]()





Malizia about you
Mijitu gani sasa? Mwenye kosa hapo ni huyo mama. Yaonekana pengine hata kufuli hana. Dogo si kwa kushangaa hukoMijitu mingine,hovyooooView attachment 1978028








