Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,380
Huyu alishanikataa zaidi ya mara 4. Anasema eti mi furushi. Hovyo tu yaani




Huyu alishanikataa zaidi ya mara 4. Anasema eti mi furushi. Hovyo tu yaani




.Aisee Kwahio tulipigwa?mchumba halisi ni yupi sasa?
Umenikumbusha lile daraja pale rock city mallKungekuwa na flyover Wanyaki wangekuwa wanajazana hapo na hata kukanyagana hovyo na kurestishana ini pisi![]()



Njoo nikuzalie wewe, acha kudengua. Wahi kabla haijaja saa.Huyu alishanikataa zaidi ya mara 4. Anasema eti mi furushi. Hovyo tu yaani![]()
Umeamua kumdalalia mama yako si ndio!! Watoto wa siku hizi



Kumbe ndio maana unatafuta zile mbegu za manini sijuiNasaka mke wa tatu bageshi. First born wetu anao wanne. Mimi nataka nikomee watatu. Kama kuna kabinti ka Kisukuma huko at least 35+ nifanyie connection nkoyi...Nakūlūmba no no no
Karibu Misungwi mjini ukipata nafasi bageshi. Ulizia kwa mzee Shimba yule mkulima maarufu wa dengu na nyanya.

Ubinti ni kama maua tu,yanachanua na kunyauka.shida ya watoto wa kike ni hapo tuu. Akisha ambiwa kuwa yeye mzuri basi wote ndani ya nyumba anawaona maboya tuu
Hapo nakuunga mkono, ukioa mnyaki tuna uhakika ufurushi unaenda kukuisha rasmi. Maana hawataki mchezo mchezo.Na ili kukata mzizi wa fitina nimeshaapa kuwa mke wangu wa tatu lazima awe Mnyaki.
Mke wa kwanza Msukuma
Mke wa pili Mnyiramba
Mke wa tatu Mnyaki....![]()
Asante,Kumbe ndio mchumba wa Jambazi