Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ajabu ni kwamba umalize usimalize.. Bado una bakuli lingine linakusubiria...Dah!!!
Yaani[emoji119][emoji119][emoji119]
Unajitahidi angalau umalize unashangaa zinaongezwa zingine[emoji2297][emoji2297]

Kuna kahafla ka kuvunja kamati nilihudhuria nilikula nyama hadi nikasema enough is enough msiniue[emoji2297]
 
Kabisa, shida ndogondogo mbona hana; basi tu
Hahaha yaani ujue kuna wanaume unaona kabisa huyu hana pesa ila anajitahidi kutafuta! Ila pops angu pesa anazo sema ndiyo mbahili kwenye kuhonga kuna comment niliona anasema ana mpango wa kuvuta Subaru Forester maana yake hana njaa ndogo ndogo sema tu ndiyo hivyo kuhonga kwake ni kipengele!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Joto ni kali sana huku tulipo[emoji23]
FB_IMG_16345811672938152.jpg
 
Back
Top Bottom