Living Pablo
JF-Expert Member
- May 17, 2020
- 3,826
- 11,647
Sasa kuna wasio tafuta kwa jasho lao wenyewe.. Msione hivyo wadangaji wanapata tabu, anakutana na mtu kamfungia vumbi la kongo, wengine wanmla kinyeo
Jasho timutimu![]()


mkuu umenichekesha kishenzi yaan na pia umenkumbsha juzi nlikuwa mtaani na washkaji kuna jamaa akaja kuchukua mkongo kwa jamaa fulani maarufu wa izo mambo aseeee nilimuonea huruma mwanamke anaeenda kukutana nae maan huyo jamaa anavuta ganja Sasa ukijumlisha na vumbi si vita ya 3 hyo anayoenda kuianzisha











