Viongozi wetu wanapenda ku deal na vitu vya vyepesi sana na ni kwa sababu sio wawajibikaji basi hawataki kusemwa wanataka tukae kimya hata kama hayatupendezi, ndio maana kila siku wanahangaika na mitandao.
Mimi kumsomesha mtoto wa mtu hata kozi ya wiki,haitokaa itokee.
Mimi kumfundisha mtoto wa mtu kupika,haitokaa itokee.
Bora nijifunze mie,na kwa nini mwanamke asijue kupika!?
Ntakula huko kwa wapemba mpaka kieleweke.
Sent using Jamii Forums mobile app
,Mambo mengine kukatana stimu tu. Labda awe na msambwanda kibibi chake kifichwe na mitikisiko wakati umekazana kumpelekea moto vinginevyo ni hovyo tu kiajuza kimekukodolea jicho wakati unajitahidi kukatenegenezea mjukuu



Rear leg or Front leg?