Sawa mawardat.. Je wewe ni mama wardat ama mi wardat imejaa hapo?Wadangaji wanaishia kumiliki simu na bguo,pesa hawafanyii chochote
Mamaangu ananipa wosia kila siku"mwanamke kujitunza,kujitunza sio kula ugali tu,tunza mwili wako"




Kazi kazi yaani. iPhone 13 in da hausi 

Sikuchukua picha wala nambaUlichukua picha? Namba je? Toa connection kama unayo aisee![]()


Dah! Basi si ridhiki yangu. Next time usiniangushe puliziSikuchukua picha wala namba![]()



