Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kwa Mahari ya Shilingi alfu 2, unajipatia mrembo wa kutosha.
Sasa angalia hao wanaotaka mahari za mamilioni...[emoji849][emoji849]
FB_IMG_1631876420778.jpg
 
Mama yetu amekuwa full jimama yaani. Presha za kuwa first lady ni mzigo mkubwa...Mungu Aendelee kumbariki; na mumewe aendelee kupumzika salama. Qwy pita kimya kimya [emoji16]
View attachment 1942065
Kunenepeana kwa huyu mama kunatupa maswali mengi[emoji849][emoji849]
Hivi mila za kisukuma zinasemaje iwapo anajitokaza mtu anayetaka kumuoa ?
 
Mama yetu amekuwa full jimama yaani. Presha za kuwa first lady ni mzigo mkubwa...Mungu Aendelee kumbariki; na mumewe aendelee kupumzika salama. Qwy pita kimya kimya [emoji16]
View attachment 1942065
Sijui mama akinanihii anafanyaje!?[emoji848][emoji848][emoji848][emoji2827][emoji2827][emoji2827]
 
Mama yetu amekuwa full jimama yaani. Presha za kuwa first lady ni mzigo mkubwa...Mungu Aendelee kumbariki; na mumewe aendelee kupumzika salama. Qwy pita kimya kimya [emoji16]
View attachment 1942065
Kuhusu hili inalazimika wasukuma kutoa majibu ya kina tena yenye uyakinifu kwa nin mke wa marhum ghafla ananoga baada ya kufiliwa au labda kuna mzaramo anampigisha soga mpaka anasahau machungu ya kufiliwa
 
Back
Top Bottom