AiseeKuhusu hili inalazimika wasukuma kutoa majibu ya kina tena yenye uyakinifu kwa nin mke wa marhum ghafla ananoga baada ya kufiliwa au labda kuna mzaramo anampigisha soga mpaka anasahau machungu ya kufiliwa
Ila kitu cha kushangaza kabla hajapata u first lady hakuwa na huo mwili.Ma first lady wa Marekani wameshawahi kulalamika juu ya mzigo wa kuwa first lady kuwa ni full stress na ni maisha yasiyo na faragha na ya kuchaguliwa mpaka nguo ya kuvaa. Sasa hana huo mzigo na yuko huru. Lakini Wabongo maneno najua yatakuwa mengi. Kwa umri wake hata unene huu siyo mzuri. Pengine yaweza kuwa ni frustrations za ujane pia ila kiafya siyo vizuri. Inabidi waanze kumpigisha mazoezi vinginevyo magonjwa ya unene hayatamwacha salama!
Huyu mama kapotezwa dira na shemeji yake!Lazima watakipata,waanze kulia na mapreshaView attachment 1942601