Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mdigo wa Pande[emoji23][emoji23] njoo uone
FB_IMG_1631850054835.jpg
 
Hapo namba 13 haijaniacha salama, nilikua mwongo mwongo sana mwenye hadithi za kutunga, sema washkaji walizipenda tu licha ya kujua ni za uwongo, na pia kwenye daftari la wapiga makelele sikua naachwa nyuma.
Ungekuwa unahadithia na hela[emoji16]ungekuwa unapiga hela[emoji41]

Nilikuwa naandika story,bila 100 simpi mtu kusoma[emoji7]
 
Back
Top Bottom