Hapanifai hapoKimya kimya, kama huwezi hamaView attachment 1941517View attachment 1941518
Bwa mdogo ana hatari aiseeHzo nywele sasa kama majaninya kiangaz,nyonyo imetobolewa bibi alambe hela hizzzz


Nimeipenda hii
Sasa kuna wasio tafuta kwa jasho lao wenyewe.. Msione hivyo wadangaji wanapata tabu, anakutana na mtu kamfungia vumbi la kongo, wengine wanmla kinyeo


Kwakweli hata wewe pepo utaisikia tu





......!Am singleKwakweli hata wewe pepo utaisikia tu![]()

Mapigo ya moyo yanakuaga kama hivi, unaweza ukapata hata mshtuko wa moyo ukafaKwakweli,niliibiwa simu yangu pale Tazara,sitokuja nisahau
Kipindi hicho zimeingia tu Samsung galaxy loooh!!View attachment 1941458


Wasukuma watu poa sana.....nawapenda sanaWenyewe wapo hapa, ohoo![]()

,,wahaya wasije nipiga na noti ya elfu kumi nikazimia
Ungekuwa unahadithia na helaHapo namba 13 haijaniacha salama, nilikua mwongo mwongo sana mwenye hadithi za kutunga, sema washkaji walizipenda tu licha ya kujua ni za uwongo, na pia kwenye daftari la wapiga makelele sikua naachwa nyuma.
ungekuwa unapiga hela

Weeeeh wacha kabisa,niliishiwa nguvu,nusu nivue nguo niitafute labda imejificha kwenye chupiMapigo ya moyo yanakuaga kama hivi, unaweza ukapata hata mshtuko wa moyo ukafaView attachment 1941581

Mungu ajaalie ukisemacho kiendane na matendo yakoWadangaji wanaishia kumiliki simu na bguo,pesa hawafanyii chochote
Mamaangu ananipa wosia kila siku"mwanamke kujitunza,kujitunza sio kula ugali tu,tunza mwili wako"
Mungu ajaalie ukisemacho kiendane na matendo yako
