Matendo ya vituko vya machawa

Matendo ya vituko vya machawa

a sinner saved by Christ

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
3,266
Reaction score
3,709
Huu uzi ni kwa ajili ya matendo ya vituko vya machawa.

Nimeona ni muhimu kukumbushana vituko vya machawa hasa kwa wakati huu ambapo UCHAWA umekuwa ajira rasmi na kitu cha kujivunia na wapo baadhi ya machawa wanajinasibu kwa kazi yao hiyo na hata kufikia kuwakejeli ELITES wasomi wakufunzi wa vyuo waliimu na officials wengine wasio kuwa machawa.

Chawa ni mtu mzima mwenye miaka 18 au zaidi , mwenye akili timamu ambaye ameamua mwenyewe bila kushurutishwa akiwa na akili zake timamu kumlamba viatu ama matako mwanadamu mwenzake,na zaidi kukesha usiku na mchana,wakati wote iwe jua iwe mvua kwa kumuimbia nyimbo za kumsifia na kumuabudu huyo mwanadamu mwenzake au wanadamu wenzake.

Zaidi yoyote chawa yupo tayari kufanya jambo lolote atakaloambiwa au hata bila kuambiwa kwa ajili ya huyo mwanadamu anayemuabudu.

Chawa ni mtu ambaye akili zake alizonazo anazikabidhi pembeni ashikiwe na huyo mtubanayemuabudu,sifa kuu ya uchawa hutakiwi kutumia akili hata kama unazo unaziweka pembeni ,chochote anachokifanya huyo mtu unayemuabudu lazima ukisifie na kukiabudu bila kufikiri hata kama watu wengine wote wanaona hakifai ila wewe chawa lazima umsifu na kumuabudu huyo unayemuabudu.

Chawa kazi yao ni kumlamba viatu na kumsafisha matako huyo wanayemuabudu.

Zipo kauli na vitendo vya machawa ambavyo vimekuwa ni vituko ,ni vizuri tukaviweka hapa kwa ajili hapa,kituko chochote umekiona mahali chawa amefanya kwa ajili ya kumfurahisha bosi wake ,na kumsifu n ma kumuabudu mwanadamu mwenzake weka hapa.
 
sifa kuu ya uchawa hutakiwi kutumia akili hata kama unazo unaziweka pembeni ,chochote anachokifanya huyo mtu unayemuabudu lazima ukisifie na kukiabudu bila kufikiri hata kama watu wengine wote wanaona hakifai ila wewe chawa lazima umsifu na kumuabudu huyo unayemuabudu.
downloadfile-48.jpg
 
Huu uzi ni kwa ajili ya matendo ya vituko vya machawa.

Nimeona ni muhimu kukumbushana vituko vya machawa hasa kwa wakati huu ambapo UCHAWA umekuwa ajira rasmi na kitu cha kujivunia na wapo baadhi ya machawa wanajinasibu kwa kazi yao hiyo na hata kufikia kuwakejeli ELITES wasomi wakufunzi wa vyuo waliimu na officials wengine wasio kuwa machawa.

Chawa ni mtu mzima mwenye miaka 18 au zaidi , mwenye akili timamu ambaye ameamua mwenyewe bila kushurutishwa akiwa na akili zake timamu kumlamba viatu ama matako mwanadamu mwenzake,na zaidi kukesha usiku na mchana,wakati wote iwe jua iwe mvua kwa kumuimbia nyimbo za kumsifia na kumuabudu huyo mwanadamu mwenzake au wanadamu wenzake.

Zaidi yoyote chawa yupo tayari kufanya jambo lolote atakaloambiwa au hata bila kuambiwa kwa ajili ya huyo mwanadamu anayemuabudu.

Chawa ni mtu ambaye akili zake alizonazo anazikabidhi pembeni ashikiwe na huyo mtubanayemuabudu,sifa kuu ya uchawa hutakiwi kutumia akili hata kama unazo unaziweka pembeni ,chochote anachokifanya huyo mtu unayemuabudu lazima ukisifie na kukiabudu bila kufikiri hata kama watu wengine wote wanaona hakifai ila wewe chawa lazima umsifu na kumuabudu huyo unayemuabudu.

Chawa kazi yao ni kumlamba viatu na kumsafisha matako huyo wanayemuabudu.

Zipo kauli na vitendo vya machawa ambavyo vimekuwa ni vituko ,ni vizuri tukaviweka hapa kwa ajili hapa,kituko chochote umekiona mahali chawa amefanya kwa ajili ya kumfurahisha bosi wake ,na kumsifu n ma kumuabudu mwanadamu mwenzake weka hapa.
Raisi kipenzi cha Watanzania Hadi tumuongezee miaka!Lukas mwashambwa alisikika!
 
TOP FIVE YA VITUKO

1)kuna mwanaume mpambe wa mwanaume mwenzake msanii akasema NIPO TAYARI KUMZALIA MTOTO mwanaume mwenzangu kama angekuwa KE angemzalia mtoto BOSS wake ili hali wote ni wanaume??? this was too much..?!


2)meingine alimfananisha JPM na YESU ,this was too much..!?
 
TOP FIVE YA VITUKO

1)kuna mwanaume mpambe wa mwanaume mwenzake msanii akasema NIPO TAYARI KUMZALIA MTOTO mwanaume mwenzangu kama angekuwa KE angemzalia mtoto BOSS wake ili hali wote ni wanaume??? this was too much..?!


2)meingine alimfananisha JPM na YESU ,this was too much..!?
watu WANABUBUJIKWA SANA NA MACHOZI YA FURAHA mpaka wanapitiliza !?
 
mwingine alisema yeye ni mkristo ila akifa azikwe KIZILAMU na anapenda uzilamu,ili kumfurahisha bosi wake muzilamu..bosi wake angekuwa mkrito je ?angesema azikwe kizilamu?!
 
Yer 17:5
BWANA asema hivi, Amelaaniwa mtu yule amtegemeaye mwanadamu,
Amfanyaye mwanadamu kuwa kinga yake Na moyoni mwake amemwacha BWANA.
 
Alaumiwe sana babalevo kwa kua chawa kizaz cha kisasa ingawaje hata zaman walikuwe ila walikua upande wa umbea zaidi na sio kusifia
 
Alaumiwe sana babalevo kwa kua chawa kizaz cha kisasa ingawaje hata zaman walikuwe ila walikua upande wa umbea zaidi na sio kusifia
SIFA ni mali ya Mungu ,anayestahili sifa ni Mungu ndiye anastahili kusifiwa na viumbe vyote.

binadamu ukiona watu wanakujaza kichwa,kataa kuvimbishwa sifa,kataa kupandisha mabega juu kataa kuota mapembe na mkia wa sifa,..ukiona wapambe wana anza kukusifia ..kataa huo ni mtego...wanataka waamshe pepo la majivuno na kiburi ,na ukishaingia majivuno/kibri/kujikweza..na kuji inua...inakuwa ni chukizo,kinyume cha majisifu/mista misifa kujiinua na kijitukuzA kinyume chake ni UNYENYEKEVU
Mungu huwapenda wanyenyekevu na kuwainua,bali huwachukia wenye kiburi na kuwashusha.
 
SIFA kutaka kusifiwa yeye badala ya Mungu ,ilipelekea nabii MUSA afe na asifike kanani kwa sababu ya kutaka asifiwe yeye kwa kupiga fimbo juu ya mwamba jiwe likatoa maji,badala ya sifa ile kuipata Mungu aliyemtuma afanye hili.
Mungu alitaka sifa hiyo na utukufu aupate yeye Mungu aliewatoa watu wake MISRI na sio wamsifu MUSA.

SIFA ndio zilifanya LUCIFER afukuzwe mbinguni na aitwe shetani
Pale lucifer alipotamani kuabudiwa yeye kama Mungu ,na zile sifa alizokuwa anasifiwa na malaika wengine kwa uzuri wake mwanga wake vinanda na ala za muziki zikizokuwa mwilini mwake lucefer na kupendeza kwa illumination kuangaza kwake nuru mwanga..SIFA zikamlevya ...akamuasi Mungu.

mwanadamu mwenzangu kataa kabisa kusifiwa KATAA KABISA KUPENDA KUSIFIWA SIFIWA...kutukuzwa tukuzwa kataa ni KITU KIBAYA SANA mwanadamu KUPENDA SIFA ..MISTA MISIFA...ni mbaya sanaaaa...

SIFA NI MALI YA MUNGU,ANAYESTAHILI KUSIFIWA NI MUNGU PEKEE
 
Back
Top Bottom