rukia16
JF-Expert Member
- Feb 27, 2020
- 2,978
- 31,039
Yaani wewe umefanya nikukumbuke kila nikiona wadada wamefungasha najisemea tu "vitu apendavyo SHIMBA YA BUYENZEDah! Basi si ridhiki yangu. Next time usiniangushe pulizi![]()





Yaani wewe umefanya nikukumbuke kila nikiona wadada wamefungasha najisemea tu "vitu apendavyo SHIMBA YA BUYENZEDah! Basi si ridhiki yangu. Next time usiniangushe pulizi![]()





Juzi kati safari ya mji kasoro bahari kuna dada alikumbana na hii zahma ilibidi ahame amwachie akae peke yakeView attachment 1941900


inabidi akatie tiketi viti viwiliHahahahaJapo ni ndoto kutokea,mi nataka tupigwe nyingi,ili akili itukae sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app



HahahaMtushangilie basi,tunaenda pindua meza huko huko kwao........View attachment 1942056

Uwe unanipigia picha basi halafu unanirushia jamani? Hata kama ni kwa malipo nipo tayari. Huo ndiyo uraibu wangu wallahiYaani wewe umefanya nikukumbuke kila nikiona wadada wamefungasha najisemea tu "vitu apendavyo SHIMBA YA BUYENZE![]()



Kwenye ndege wanawalazimisha wafanye hivyo. Na wanalipishwa zaidi kwa sababu hata mikanda inabidi waunganishe miwili au mitatuinabidi akatie tiketi viti viwili
Mwenyewe hapo si ajabu umefungasha hatariYaani wewe umefanya nikukumbuke kila nikiona wadada wamefungasha najisemea tu "vitu apendavyo SHIMBA YA BUYENZE![]()




Mie nilikuta udongo umeisha nikabahatika ya kukalia tuMwenyewe hapo si ajabu umefungasha hatari![]()






Uwe unanipigia picha basi halafu unanirushia jamani? Hata kama ni kwa malipo nipo tayari. Huo ndiyo uraibu wangu wallahi
Kama jana nikagongana nalo moja dukani dah! Ikabidi tu yaani nikamsalimie. Shida tupu kwa kweli!


usijali nitafanya hivo niqe nakutumia

