Njoo PM![]()
Kuna nini?




Mkuu Espy mtembelee Kamanda 
Weeeeh,nitake radhi,siangaliagi ujinga ule khaa!



hahahaha.Huku ndiyo kuweweseka.March 2021View attachment 1903341Wait part 2 soon



Ila kwa mujibu wa Gwaji Boy,wazazi wote chuma ishalia. So kama yule wa leo church ndo kabaki,kitamaduni huyo ndo mkwe wa Dr Gwajima sasa. Sioni tofauti hapo,so yule ama ni baba mdogo ama mkubwa wa mume wa Dr Gwajima,huyo ndo mkwewe kwasasa.Hii familia inahitaji maombi
View attachment 1903650
Kimetokea nini hapo Kivukoni mkuu
Kwako pia dada..

Ningekaa sana hapo C,basi tu ni mambo ya kujidanya now.
hiyo ni ya kitambo mkuuKimetokea nini hapo Kivukoni mkuu
Supu na chapati 4! Nashushia na soda niipendayo 7 up ya baridi sana!Utakunywa nini??View attachment 1903581
Kwanini?Hilo neno 'nchi' nililiona vibaya mwanzo. N'kasema haya!!!!!