moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,147
- 770,254
Na sikuhizi wamebuni ka utaratibu unamsugua kiharage mpaka unachoka na bado hayakojoi. Kila bada ya lisaa utasikia"umeacha na ndo nilikua nakaribi",yaani mpaka uje upande juu mkono misuli imekakamaa



Supu na chapati 4! Nashushia na soda niipendayo 7 up ya baridi sana!
kwanini, yalishawahi kukutoa nishai nini!Kwenye maji sinaga amani kabisa Chief






Hata mimi ningegoma kwakweli 😂 😂 🤣😂🤣🤣
Hii inaitwa good newz in good newz
Wanawake ni wabinafsi sana, wao ndiyo kila mara wanataka wafikishwe kileleni, sisi nani atufikishe huko?







mighebuka ya kusini
Huyu ni mimi jamani.tena ninashoga zangu wawili hao kudadeki tumekutana wote wakuda😁tukikuundia kamati huchomoki aise
Nina matukio mabaya sana ya baadhi ya watu ninaowafahamu kufa mtoni,mwingine kwa kuliwa na mamba..mwingine alizama hakurudi tenakwanini, yalishawahi kukutoa nishai nini!