Nipo huru kuchangia bana labda ungeweka disclaimer kuwa SYB usichangie hapa. Na ni lazima niwatetee malast born wenzangu. Sisi tuna upendo wa kweli na tuna roho njema iliyojaa huruma japo pia tunaweza kudeka kidogo hapa na pale. Na utambue kwamba ufurushi wa mwanaume mara nyingi unasababishwa na ufurushi wenu - choyo, wivu uliopitiliza, visasi, roho mbaya... Kwa hivyo kama una tendency ya kupata wanaume mafurushi, jichunguze mwenyewe kwanza. Kama una moyo mwema, huna visasi, una upendo wa kweli na una good intentions hutakaa upate furushi hata siku moja!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.