Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

.
FB_IMG_1629642625720.jpg
 

Nilijua tu lazima uchangie. Sasa last born wa kiume we uliona wapi hawi furushi?

Nipo huru kuchangia bana labda ungeweka disclaimer kuwa SYB usichangie hapa. Na ni lazima niwatetee malast born wenzangu. Sisi tuna upendo wa kweli na tuna roho njema iliyojaa huruma japo pia tunaweza kudeka kidogo hapa na pale. Na utambue kwamba ufurushi wa mwanaume mara nyingi unasababishwa na ufurushi wenu - choyo, wivu uliopitiliza, visasi, roho mbaya... Kwa hivyo kama una tendency ya kupata wanaume mafurushi, jichunguze mwenyewe kwanza. Kama una moyo mwema, huna visasi, una upendo wa kweli na una good intentions hutakaa upate furushi hata siku moja!
 
Back
Top Bottom