Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_1629641567399.jpg


Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 

Ulivyojitetea sasa!! Halafu mbona kama umepanik SYB
Lakini bado tunarudi kule kulekule, furushi ni furushi tu hata angekuwa na mwanamke wa aina gani

Nipaniki kwako wewe mtani wangu wa miaka na miaka humu? We ukiniudhi si nakuibukia tu kwako nakupa za uso na mipasho ya Kisukuma yanaisha bana?

Kuna maana yangu kusema hayo yote...na labda nikuulize. Kuna mafurushi ya kike pia au mafurushi ni ya kiume tu?
 
Nipaniki kwako wewe mtani wangu wa miaka na miaka humu? We ukiniudhi si nakuibukia tu kwako nakupa za uso na mipasho ya Kisukuma yanaisha bana?

Kuna maana yangu kusema hayo yote...na labda nikuulize. Kuna mafurushi ya kike pia au mafurushi ni ya kiume tu?

Sasa ulivyonishushua!!! Ukiibukia kwangu nakumwagia maji ya ukoko wa ugali, halafu nakimbia.

Hakuna furushi la kike, ukiona unamuona mwanamke haeleweki basi tazama wanaume wanaomzunguka, iwe kaka,baba,mume,mpenzi,rafiki nk
Hivi mwanamke anakuwaje furushi jamani
 
Back
Top Bottom