Ziltan
JF-Expert Member
- Aug 20, 2011
- 2,707
- 6,942
Ulivyojitetea sasa!! Halafu mbona kama umepanik SYB
Lakini bado tunarudi kule kulekule, furushi ni furushi tu hata angekuwa na mwanamke wa aina gani![]()
Ukitajwa wewe mjukuu itakuwaje? Nataka nile mahari kisha nione vitukuu miye
Nipaniki kwako wewe mtani wangu wa miaka na miaka humu? We ukiniudhi si nakuibukia tu kwako nakupa za uso na mipasho ya Kisukuma yanaisha bana?
Kuna maana yangu kusema hayo yote...na labda nikuulize. Kuna mafurushi ya kike pia au mafurushi ni ya kiume tu?









Bahati mbaya tu uwe shabiki wa arsenal,ndio utatamani update taarifa yoyote ya msiba ili ukapunguzie machungu kwa machoziiView attachment 1903594





Hawawezi nitajaUkitajwa wewe mjukuu itakuwaje? Nataka nile mahari kisha nione vitukuu miye
wanakuogopa babu
