moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,150
- 770,261
Barani Afrika kuna Vibwetere wengi tu.
Barani Afrika kuna Vibwetere wengi tu.
Kumbe aliuwawa, aiseeeAlikuwa mtata sana. Yaani full vituko kesi kama zote. Ilibidi tu kumuua ili kukata mzizi wa fitina!
View attachment 1902873View attachment 1902875


Mbona mihogo yetu haina mifupa lakini inasimama.? 😂😂😂 Hakuna kuwafariji wanawake
Leteni jibu.View attachment 1900879
Babu mabaharia sio watu wazuri,wanataka nizae kabla ya ndoaHivyo nitaviona tu Inshallah! Halafu ni wewe tu mjukuu wangu unanichelewesha. Please olewa ningali hai ili nivione vitukuu vyangu jamani. Mabaharia wapo wengi tu hata humu JF. Chagua mmoja mi nifurahi pulizi![]()
,si watanikimbia,halafu wake wanicheke eti single mom
Yaani hapo mpaka mwanaume anamsaidia kubeba mkoba, itakua ndio wanaenda....



mabaharia sio watu,wakitoka kila mtu na njia yake
Kimba ni nini?
Nawashia jiko. Viberiti vya kawaida changamoto siku hizi. Havipo imaraHish! Kwani nawe unavuta?!![]()
nyesiKiKimba ni nini?