NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Watumiaji wanasema hivyo![]()
Anayetaka anitafute nampa tu #hashtag huhangaiki tena na Hizo link kama P… Hub



.
Watumiaji wanasema hivyo![]()



.Mkuu, usiulize majibu kwenye mtihani usio na maswali.Ina maana wote tunaomiliki 'white' tunahujumiwa kiaina?
Mpaka kieleweke dadeki. Halafu ripoti ya CAG ikitoka hela zimeibwa kishenzi na akina Kigwangalla. Na majizi haya hayafanywi kitu huku watu wa kawaida mnaendelea kukamuliwa!
Kuna mmoja yuko hivihivi,ni msabato,anatoka Tarime-Mara!!



Nilikuwa na miaka 14. Aisee siku hazigandi. Asante Mungu kwa kunipa maisha marefu haya![]()










Ulishamkula?Kuna mmoja yuko hivihivi,ni msabato,anatoka Tarime-Mara!!![]()




Nitapiga mziki nyumbani!!Mpaka kieleweke dadeki. Halafu ripoti ya CAG ikitoka hela zimeibwa kishenzi na akina Kigwangalla. Na majizi haya hayafanywi kitu huku watu wa kawaida mnaendelea kukamuliwa!
View attachment 1902893
Sisi tunaagiza kutoka nje hata 'spoku' za baiskeli.Ila wazungu bana basi tu....
View attachment 1902817
Ulishamkula?![]()


hana...mi bado mdogo kwenye kukula watu. Na dada yupo humu ndani kanikataza.Mwanaume gani huyu ana vichuchu vitamu hivi?

Dada mtu njoo huku una kesi. Huyu si ulimwita dogo akaja juu? Ona hapa anakutwisha lawama....hana...mi bado mdogo kwenye kukula watu. Na dada yupo humu ndani kanikataza.
Sijawahi kukula Mkuria!!
Na huo ufupi jaribu kumbishia kuhusu anachokiamini uone moto.Tena hapa yupo anakwenda zake Tanganyika Parkers akashuhudie wafu wakifufuliwa na misukule ikirudishwaView attachment 1902836