Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Tena hapa yupo anakwenda zake Tanganyika Parkers akashuhudie wafu wakifufuliwa na misukule ikirudishwa









Hapa dogo anaonekana kakolea ndumu, je naye yuko chama la wana?
Ndiyo hivyo, muache ulozi ili tuwape hela ndugu zetu






