Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,386
Na sasa atawaonya wafuasi wa Lungu!!
Kuandama ni haki, polisi wajibu wao ni kuwepo kwa kulinda usalama bila ya kuzuia maandamano. "Kukung'uta" waandamanaji ambao hawafanyi vandalism ni uvunjaji wa haki za raia, polisi lazima nao wawe guided na sheria yaani wafanye kazi kwa weledi.Na sasa atawaonya wafuasi wa Lungu!!
Huyu anasimamia sheria na ni muajiriwa wa serikali
Kwasasa serikali ni mpya,ila sheria,kanuni na taratibu ni zilezile. Alikosea wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mwaka gani hii babu
,sijawahi lionaHii couple ina wakati mgumu sanaSaa inakuwaje lakini![]()

Yaani hawa watu warembo wanapigwa mpaka mzigo unakosaga ladhaaaa


