Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

JK the diplomat
IMG-20210816-WA0108.jpg

IMG-20210816-WA0107.jpg


Mshindi na mshindwa
IMG-20210816-WA0101.jpg


Good luck Zambia
 
WANAFANYA UPASUAJI MAHOSPITALINI KURUDISHA BIKRA

DIRA YA DUNIA – AGOSTI 16, 2021

• Baraza la usalama lakutana kujadili hali ya mambo nchini Afghanstan huku katibu mkuu wa umoja wa mataifa akionya Afghastan isitumike tena kama makaazi ya magaidi...

• Tume ya uchaguzi nchini Zambia imemthibitisha rasmi mgombea wa upinzani Hakainde Hichilema kuwa mshindi wa kiti cha urais.

• Nchini Tanzania idadi ya wabunge waliojitokeza kwajili ya kupewa chanjo Jijini Dodoma yasemekana kuwa ndogo -

Mamlaka moja ya matibabu nchini Uingereza imeitaka serikali kupiga marufuku upasuaji wa ubikra , huku tukiuliza , Ni kwanini baadhi ya wanawake hutafuta upasuaji wa kurejesha ubikra?

Leo Jumatatu katika Dira ya Dunia , uko nami Anne Ngugi na mwenzangu ni Martha Saranga ni kuanzia saa kumi na mbili na nusu jioni.
 
Back
Top Bottom