Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
JK the diplomat 


Mshindi na mshindwa
Good luck Zambia




Mshindi na mshindwa
Good luck Zambia







AgainAisee mpaka ule hela yangu umepambana sana. Kwanza mwanamke akishaniomba hela na mimi na yeye ndo mwisho hapo.







Būjikū ng'waka bageshiKasimu kana kata chaji Wakuu. Niwaage,tutaonana kesho. Mungu awalinde na muwe na usiku mwema.

Njoo PM mtumishi upate zawadi yako japo hujathibitisha cho chote!![]()


WANAFANYA UPASUAJI MAHOSPITALINI KURUDISHA BIKRA 


Labda aniwahi. Ila bado hatokua salama. Kuna siku nitamkopa na akinipa ndo imeisha hiyo. Labda apotee mazima.
Na sinaga tabia ya kutuma nauli,namfuata mimi,akizingua nitakua nimepeta exposure![]()


mda mwengine raha kuletewa mkuu na mambo mengine samehe tu,hutak zidiwa ujanja!!?



Babu shikamoo,popote ulipo salamu yangu ikufikieYes !!!![]()

Marahaba mjukuu. Yale makitu mbona hujaniletea bana? Nimechoka kusubiriBabu shikamoo,popote ulipo salamu yangu ikufikie![]()
Hapa kumewekwa nini, hivyo vyeusi ?


Nata vocha hutumi,Aisee mpaka ule hela yangu umepambana sana. Kwanza mwanamke akishaniomba hela na mimi na yeye ndo mwisho hapo.
,vocha yang u,Sim u yangu kwa jasho langu, Hi yo nakujibu nikijisikia au nisikujibu kabisa