Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Jamaa hajawahi kuongea ila ana followers m kwa sasa tiktok
IMG_2055.jpg
 
Aaaa wapi!

Viongozi wa Afrika huwajui mkuu? Wakiwa wanagombea ahadi kama zote ngoja waingie jikoni sasa uwiii
Viongozi wa kiafrika lao moja
Ndiyo maana sitokuja mtukana mtu kwa sababu ya siasa hizi za kiafrika.

Mkweli, muaminifu kwenye siasa zetu ni yule aliye nje ya mfumo wa dola, akishaingia humu utashangaa sana
 
Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa
Msukuma jiangalie
Usije kuanzisha uzi wa malalamiko hapa, Ohooo
Ndiyo itajulikana kati ya mnyaki na msukuma nani mshamba.
Kila kitu ni chema wapendwa. Kwa umpendaye pesa haina thamani kwa sababu unakuwa tayari hata kutoa uhai wako ili kumlinda na kumfurahisha. Mtumishi; kwako tu acha niwe mshamba na Wanyaki wote wawe werevu. Kitaeleweka kwenye mavuno
 
Back
Top Bottom