Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,848
- 147,117
Hapana,tunalia then twaenda jikoni[emoji28]Nilihisi mnadondoshaga machozi Kwny majungu ya chakula[emoji23]
Hapana,tunalia then twaenda jikoni[emoji28]Nilihisi mnadondoshaga machozi Kwny majungu ya chakula[emoji23]
Viongozi wa kiafrika lao moja[emoji849]Aaaa wapi!
Viongozi wa Afrika huwajui mkuu? Wakiwa wanagombea ahadi kama zote ngoja waingie jikoni sasa uwiii [emoji51]
Ama kweli msukuma akierevuka, mnyaki yu matatani. Fanya tu kunitumia bana Mtumishi
Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa[emoji15][emoji15][emoji15]Njoo PM mtumishi upate zawadi yako japo hujathibitisha cho chote! [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji120][emoji120]Kasimu kana kata chaji Wakuu. Niwaage,tutaonana kesho. Mungu awalinde na muwe na usiku mwema.
Oyoooooo[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji16][emoji16][emoji16]
View attachment 1894895
Mlo ambao umehonga sana , aka Rushwa, ambayo pia umetuma na ile ya kutolea[emoji23]Tunazungumzia mlo gani hapa?
View attachment 1894910
Aje getho halafu andoke bure bure aaah wapi[emoji23]Sasa sijui amekuja kufanya nini. Kusikiliza nyimbo za Diamond kwenye sabufa?
View attachment 1894913
Mkuu naomba sana tusipangiane...na kila mtu ashinde mechi zake pulizi [emoji16][emoji16][emoji16]Tatzo wapenda yale makubwa,tafuta vya kawaida mpigishe butt workout afanye asubuh na jion kama hutaenjoy
Aisee,
Mda si mrefu atapewa madili Hollywood huyu... kweli Dunia inazunguka aise...Jamaa hajawahi kuongea ila ana followers [emoji817]m kwa sasa tiktok View attachment 1894945
Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa[emoji15][emoji15][emoji15]
Msukuma jiangalie[emoji24]
Usije kuanzisha uzi wa malalamiko hapa,[emoji23] Ohooo[emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa[emoji15][emoji15][emoji15]
Msukuma jiangalie[emoji24]
Usije kuanzisha uzi wa malalamiko hapa,[emoji23] Ohooo[emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Kila kitu ni chema wapendwa. Kwa umpendaye pesa haina thamani kwa sababu unakuwa tayari hata kutoa uhai wako ili kumlinda na kumfurahisha. Mtumishi; kwako tu acha niwe mshamba na Wanyaki wote wawe werevu. Kitaeleweka kwenye mavuno [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji16]Ndiyo itajulikana kati ya mnyaki na msukuma nani mshamba.