Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Jamaa hajawahi kuongea ila ana followers [emoji817]m kwa sasa tiktok
IMG_2055.jpg
 
Aaaa wapi!

Viongozi wa Afrika huwajui mkuu? Wakiwa wanagombea ahadi kama zote ngoja waingie jikoni sasa uwiii [emoji51]
Viongozi wa kiafrika lao moja[emoji849]
Ndiyo maana sitokuja mtukana mtu kwa sababu ya siasa hizi za kiafrika.

Mkweli, muaminifu kwenye siasa zetu ni yule aliye nje ya mfumo wa dola, akishaingia humu utashangaa sana[emoji15][emoji15]
 
Ama kweli msukuma akierevuka, mnyaki yu matatani. Fanya tu kunitumia bana Mtumishi
Njoo PM mtumishi upate zawadi yako japo hujathibitisha cho chote! [emoji16][emoji16][emoji16]
Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa[emoji15][emoji15][emoji15]
Msukuma jiangalie[emoji24]
Usije kuanzisha uzi wa malalamiko hapa,[emoji23] Ohooo[emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Ndiyo itajulikana kati ya mnyaki na msukuma nani mshamba.
Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa[emoji15][emoji15][emoji15]
Msukuma jiangalie[emoji24]
Usije kuanzisha uzi wa malalamiko hapa,[emoji23] Ohooo[emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
 
Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa[emoji15][emoji15][emoji15]
Msukuma jiangalie[emoji24]
Usije kuanzisha uzi wa malalamiko hapa,[emoji23] Ohooo[emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Ndiyo itajulikana kati ya mnyaki na msukuma nani mshamba.
Kila kitu ni chema wapendwa. Kwa umpendaye pesa haina thamani kwa sababu unakuwa tayari hata kutoa uhai wako ili kumlinda na kumfurahisha. Mtumishi; kwako tu acha niwe mshamba na Wanyaki wote wawe werevu. Kitaeleweka kwenye mavuno [emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji16]
 
Back
Top Bottom