Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,918
- 136,634
Hapana,tunalia then twaenda jikoniNilihisi mnadondoshaga machozi Kwny majungu ya chakula![]()

Hapana,tunalia then twaenda jikoniNilihisi mnadondoshaga machozi Kwny majungu ya chakula![]()

m kwa sasa tiktok
Viongozi wa kiafrika lao mojaAaaa wapi!
Viongozi wa Afrika huwajui mkuu? Wakiwa wanagombea ahadi kama zote ngoja waingie jikoni sasa uwiii![]()



Ama kweli msukuma akierevuka, mnyaki yu matatani. Fanya tu kunitumia bana Mtumishi
Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapaNjoo PM mtumishi upate zawadi yako japo hujathibitisha cho chote!![]()




Ohooo









Kasimu kana kata chaji Wakuu. Niwaage,tutaonana kesho. Mungu awalinde na muwe na usiku mwema.


Mlo ambao umehonga sana , aka Rushwa, ambayo pia umetuma na ile ya kutoleaTunazungumzia mlo gani hapa?
View attachment 1894910

Aje getho halafu andoke bure bure aaah wapiSasa sijui amekuja kufanya nini. Kusikiliza nyimbo za Diamond kwenye sabufa?
View attachment 1894913

Mkuu naomba sana tusipangiane...na kila mtu ashinde mechi zake puliziTatzo wapenda yale makubwa,tafuta vya kawaida mpigishe butt workout afanye asubuh na jion kama hutaenjoy



Aisee,
Mda si mrefu atapewa madili Hollywood huyu... kweli Dunia inazunguka aise...Jamaa hajawahi kuongea ila ana followersm kwa sasa tiktok View attachment 1894945
Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa
Msukuma jiangalie
Usije kuanzisha uzi wa malalamiko hapa,Ohooo
![]()
Naona kila aina ya dalili ya kupigwa mtu hapa
Msukuma jiangalie
Usije kuanzisha uzi wa malalamiko hapa,Ohooo
![]()
Kila kitu ni chema wapendwa. Kwa umpendaye pesa haina thamani kwa sababu unakuwa tayari hata kutoa uhai wako ili kumlinda na kumfurahisha. Mtumishi; kwako tu acha niwe mshamba na Wanyaki wote wawe werevu. Kitaeleweka kwenye mavunoNdiyo itajulikana kati ya mnyaki na msukuma nani mshamba.



