Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Mimi hata tuishi Nchi tofauti siwezi nina kinyaaa yaani naona kabisa hii mali yangu jana ilikuwa sehemu fulani au leo mwenzangu yupo kifuani huko aiseee siwezi😬😬Mie hapana
Yaani sikatai ukewenza,lakini tuishi wilaya tofauti
Ninaweza nikawa mie ni mstaarabu,lakini mwenzangu ukawa moto wa kifuu![]()






