Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383
Na kwako piaKasimu kana kata chaji Wakuu. Niwaage,tutaonana kesho. Mungu awalinde na muwe na usiku mwema.
Mie nakaa na no ya wakala,ikithibitishwa tu naing'oamda mwengine raha kuletewa mkuu na mambo mengine samehe tu,hutak zidiwa ujanja!!?

Vitunguu vimeunguaHapa kumewekwa nini, hivyo vyeusi ?




. Ni vya kuhurumia tu na kuvinunulia misosi 
Mie nakaa na no ya wakala,ikithibitishwa tu naing'oa
Sipendi ujinga![]()



hakuna namnaNilisahau babuMarahaba mjukuu. Yale makitu mbona hujaniletea bana? Nimechoka kusubiri
Miss utalii
Oooops !!!
View attachment 1894917
Nilihisi mnadondoshaga machozi Kwny majungu ya chakulaMambo yangu hayo,kitengo cha michuzi
Tunaliaga kabla ya kuanza kupika

Apply hyo engineer uone kama hujarushwa![]()


Hahahahaha
Unajua engineers wanawaponda sana wauguzi![]()

kisa nn Sasa wakat wote ni wenye status kubwa