Hapo ni Mwakaleli laivu!
Eva anaitwaje katika kitabu chenu kitakatifu?eti "Eva"



Ila Kibwetere huyu wa Ubungo mi nimemkubali kutokana na msimamo wake thabiti.Kibwetere wamuache tu abweke hana madhara...View attachment 1894820


Hahahahahahahaha,Sipati picha Msukuma na Mnyakyusa wakioana mf. Mimi na wewe mtumishi![]()






Nini wa kila siku......hata wa kila saa. Labda wife.Lakini ni mpenzi wako wa kila siku
Yanini kusitisha muhamala??
Mlio naskiaga wanaweka ringtone kwahyo hakitupwi kitu


Siyo kirahisi hivyo Mtumishi. Umejuaje kuwa nilikuwa namaanisha hicho na siyo kile? Unaweza kuthibitisha conclusively (and without any reasonable doubt) kuwa hicho ndiyo nilikuwa namaanisha na si kingine cho chote katika millions and millions of other possible meanings?
Nimependa sana hiyo picha hapo juu akiwa amegonga jeans


Wewe ni nomaNini wa kila siku......hata wa kila saa. Labda wife.
Ila hawa ingia toka,aisee hela yangu haipotei(in Magufuli voice).
Mwanamke jasiriEva anaitwaje katika kitabu chenu kitakatifu?
Yeye ndiye bingwa wa kusemeshana na majoka shwaini zake![]()



Aaaa wapi!Nimependa sana hiyo picha hapo juu akiwa amegonga jeans
Atakuja kuwa rais wa wanyonge.
Naamini hatawanyonga hao wanyongeView attachment 1894864

Kama huyu namuitikia politely tu,nikishakata tu,narudisha muamala. Barakoa itakauka fasta.
Yes !!!Nini wa kila siku......hata wa kila saa. Labda wife.
Ila hawa ingia toka,aisee hela yangu haipotei(in Magufuli voice).







Labda aniwahi. Ila bado hatokua salama. Kuna siku nitamkopa na akinipa ndo imeisha hiyo. Labda apotee mazima.Mda huo ishatolewa....


Njoo PM mtumishi upate zawadi yako japo hujathibitisha cho chote!Ama kweli msukuma akierevuka, mnyaki yu matatani. Fanya tu kunitumia bana Mtumishi


