Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

FB_IMG_16274696267056808.jpg
 
Musiba mahakama zinazidi kumpelekea moto. Sasa anatakiwa kumlipa Prof. Tibaijuka milioni 80. Ukiongeza na ile bilioni 7 ya shangazi kazi anayo!
View attachment 1891076

Ndio maana sipendi siasa, kwetu hapa nilishazitema kabisa, unajifanya chawa wa kiongozi halafu siku akija dondoka unaachwa mwenyewe umeanikwa. Watu huwa hawajifunzi na kilichotendeka kwenye utawala wa Hitler, mpaka leo kuna waliokua wapambe wake wanasakwa hadi uzeeni, unakuta babu kajizeekea ila akibainika alikua na ukaribu fulani na Hitler anakamatwa hivyo hivyo na umakamo wake.
 
Back
Top Bottom