Tetragrammaton
Member
- Jul 20, 2021
- 22
- 161
Ila picha ya huyu Dogo nimeipenda sana
Medali za dhababu hazipatikani hivi hivi huko Tokyo. Ni sacrifice na dedication...View attachment 1888556View attachment 1888559
Habari imeishia hapoMaskini wee ameshafungamanishwa huyo hata aachike hatapata hata chizi wa kumtania
Musiba mahakama zinazidi kumpelekea moto. Sasa anatakiwa kumlipa Prof. Tibaijuka milioni 80. Ukiongeza na ile bilioni 7 ya shangazi kazi anayo!
View attachment 1891076
Hayawani katika ubora wake.




Hayawani alikuwa jambazi sugu,hii ni kwa mujibu wa maelezo ya jambazi Sabaya.