Elimu ya Tanzania ngumu kuipata na ukiipata AJIRA hakunaView attachment 1891414
Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
Mtoto wa kishua njaa unaijua?Hakijamwagika looh,mbona ningelala njaaView attachment 1891391
Dini hazisajiliwi popote, ni taasisi kama makanisa na hizi wanazoita ministries
Moja kati ya njia kuu ya kuilinda amani ni kumdhibiti anayetaka kuivuruga amani. Mimi ningekanyaga koromeo kabisa. Nikija kutoa mguu nakua ninesha uproot tatizo.Mlinzi wa amaniView attachment 1891611
Katiba iliyopo hawaitambui!!