Ok,kumbe ndio hivo,asanteUnaangalia status za watu bila kujulikana![]()
Hii haina tabu, mpaka jioni babu yako atakuwa keshapokea pdf huko pm![]()
Mkazie hivyo hivyo huyo baharia mjukuu wangu. Sijaona pdf wala nini. Hapa nilipo nimefura vibaya sanaFanya hivyo![]()



Nisahau? I live for that madude. Na japo niko 76 lakini bado niko sharp kishenzi. Nachezaga masudoku na games nyingine za kunoa akili. Sisahau kitu wallahi...yaan na huo uzee hausahau duuh!
Tumbo ndiyo raha yenyewe hiyo. Kama hutaki tumbo basi vimbaumbau vinakuhusu



Makamanda na matusi ni kama chanda na peteKabila gani huyu mende oooops sorry namaanisha huyu polisi.








