Kuna mdau hapo juu kasema ni sawasawa..Hii sio fair, huyo amekamatwa kwa kutenda kosa lakini sheria bado inamlinda na ana haki pia, ni mahakama pekee ndio yenye kuprove mtu kuwa na hatia lakini sio kwa chombo chochote kutesa au kuonea mtu ambae haijathibika kuwa ana hatia!



Na wewe kwanini utafune hivyo vitafunwa!!!




Hapo kwenye 90% hawakwenda kulazwa.....naona wameshuka hadi mwisho wote wanabarakoa. So wamefungia uviko ndani?Chukua tahadhari View attachment 1891654



Wote mmefika Chuo!!


Afande kama ndo anaumaliza mwendo vileSo hapo mwanamke hajamtambua mwanaume?



Ndo ushalogwa!!
Wanaongoza ligi tayar

Hajielewi![]()
Hivi hamna namna ya kufanya wasichana wa leo wawe hiviVipi Kijijini kwenu wapo wa hivi?View attachment 1850733