Kuna mdau hapo juu kasema ni sawasawa.. [emoji848][emoji2984][emoji2827]Hii sio fair, huyo amekamatwa kwa kutenda kosa lakini sheria bado inamlinda na ana haki pia, ni mahakama pekee ndio yenye kuprove mtu kuwa na hatia lakini sio kwa chombo chochote kutesa au kuonea mtu ambae haijathibika kuwa ana hatia!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na sisi wa kusafisha macho je?[emoji23]
Dah, mtu ashapigwa juju hapo [emoji3][emoji1787]
Na wewe kwanini utafune hivyo vitafunwa!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo kwenye 90% hawakwenda kulazwa.....naona wameshuka hadi mwisho wote wanabarakoa. So wamefungia uviko ndani?[emoji23][emoji23][emoji23]Chukua tahadhari View attachment 1891654
Wote mmefika Chuo!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Afande kama ndo anaumaliza mwendo vile
So hapo mwanamke hajamtambua mwanaume?[emoji23][emoji23][emoji23]
Ndo ushalogwa!!
Wanaongoza ligi tayar [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hawako serious kabisaaa,wameliwa tenaaa.View attachment 1891467
Hajielewi[emoji16]
Hivi hamna namna ya kufanya wasichana wa leo wawe hiviVipi Kijijini kwenu wapo wa hivi?View attachment 1850733