Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,912
- 136,619
Shikamoo babuNjooni PM tu wajukuu zangu tuongee. Miaka 76 sasa wala sina maneno mengi. Njooni mchote busara na nasaha zangu kabla sijaumaliza mwendo![]()
Shikamoo babuNjooni PM tu wajukuu zangu tuongee. Miaka 76 sasa wala sina maneno mengi. Njooni mchote busara na nasaha zangu kabla sijaumaliza mwendo![]()
Hii haina tabu, mpaka jioni babu yako atakuwa keshapokea pdf huko pmAndika barua ya maombi ya kuingia pm,maombi yapite kwa babu![]()

Ukija unaongea Kiarabu nitakuachilia. Vinginevyo jiandae kwa mashambulizi makali![]()


najua huwezi kuniangusha mzee wanguMarahaba mjukuu wangu. Ukija PM usisahau yale makitu uliyoniahidi siku ile...Shikamoo babu
Huyu afande sijawahi kumwelewa tangu nione hizi picha



Ndio alivyo yuko kama comedy fulani ila ni mkaksi balaaHuyu afande sijawahi kumwelewa tangu nione hizi picha![]()
Uno moja chaliii kama askofu Chidi
Fanya hivyoHii haina tabu, mpaka jioni babu yako atakuwa keshapokea pdf huko pm![]()

Enzi hizo ukinunua kitu hakiharibiki mpaka unakichoka mwenyewe.Ni, ya nini hii??View attachment 1890107
Marahaba mjukuu wangu. Ukija PM usisahau yale makitu uliyoniahidi siku ile...



yaan na huo uzee hausahau duuh!Sisi huku samaki wanakaangwa kwa mafuta
Fanya hivyo![]()

Hili mwela mukaka kabisa