Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

Nimepata kabinti ka kilokole aisee ndo kapo kanapambana ila vita ni vikali si vya kitoto aisee. Kwa neema ya Mungu nitaokoka tu. Tukutane peponi kamanda [emoji122][emoji122][emoji122][emoji1545][emoji1545]
Amina mkuu, church girls wana umuhimu wake sana kuliko hawa wa ukirudi niletee k-vant ndogo[emoji120]
 
Bila kusahau hali halisi uko ndani pia [emoji16][emoji16]
IMG_20210719_091229_254.jpeg
 
Yeah, hata akifariki dhakari imesimama lazima mwenza aishughulikie. Maiti si kitu cha kukiogopa, ni mila tu ndiyo husababisha watu waogope maiti.

Navyoogopa maiti mpk umri huu nilionao sidhan kama ningeweza kwel kufa nitakufa ila maiti naiogopa sasa ndio kuikatikia si ningezimia kama nikienda misiban tu msiba haunihusu ila nikiona wafiwa wanalia nalia pia daah kwakwel hiyo mila ni udhalilishaj wa marehem tu
 
Navyoogopa maiti mpk umri huu nilionao sidhan kama ningeweza kwel kufa nitakufa ila maiti naiogopa sasa ndio kuikatikia si ningezimia kama nikienda misiban tu msiba haunihusu ila nikiona wafiwa wanalia nalia pia daah kwakwel hiyo mila ni udhalilishaj wa marehem tu
Pole sana, uoga umeujenga wewe mwenyewe kwenye akili yako.
You can change that taratibu taratibu, ila kwanza ujipe ujasiri kwa kujiambia maiti haiwezi kukudhuru ki namna yoyote ile. Hivi unajua ya kuwa binadamu aliye hai ndiyo anaweza kuwa hatari kwako na si maiti.
 
Back
Top Bottom