Taavid
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 8,320
- 71,084
Amina mkuu, church girls wana umuhimu wake sana kuliko hawa wa ukirudi niletee k-vant ndogoNimepata kabinti ka kilokole aisee ndo kapo kanapambana ila vita ni vikali si vya kitoto aisee. Kwa neema ya Mungu nitaokoka tu. Tukutane peponi kamanda![]()

















