Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,236
- 31,197
Kabila gani huyu mende oooops sorry namaanisha huyu polisi.
Kabila gani huyu mende oooops sorry namaanisha huyu polisi.
Kile kichama kisichokua na ofisi watasema katiba mpya itaondoa hayo!!Wanawake wa Handeni wamejibu
View attachment 1890852



MnyaluKabila gani huyu mende oooops sorry namaanisha huyu polisi.
Mnyalu kawa mende, dunia inaenda fasta sana.
Uganga ni sanaa kama sanaa nyingine hivyo timing ni kitu mihimu kwao, wasilaumiwe




Umeona eeehSana![]()
Mambo mengi, ulimi uko kwenye idara husika lakini na pua inatekeleza majukumu yasiyozuilika.Kinaendelea nini mkuu![]()
Hivi WhatsApp GB ina maajabu gani kwani?
Moja ya raha za uzee ni kula kwa macho, haina madhara, hauchoki, hakuna magonjwa na wala hakuna gharama lakini anasuuzika roho na tabasamu juu.yaan na huo uzee hausahau duuh!








Yeah, anaonyesha ukongwe kwa vitendo.
Unaangalia status za watu bila kujulikanaHivi WhatsApp GB ina maajabu gani kwani?
