Eeh nisuke tu. Dogo iloo!?Yaani dunia isimame "usuke" tu!!![]()

Uchawi upo..
Kama ameacha basi ameshatajirika huyo.Mbozi ipi kijana labda Tunduma au mlowo kwa wafanyabiashara ,Chaula wa Vwawa alushaacha siku hizi kazeeka ilikuwa zamani sana,tumgoshe tumleshe
...Mwana kuyatafuta mwana kuyapata.![]()
Anayopitia Cyprian Musiba yanatukumbusha kuwa tusiishi kwa kumtegemea mwanadamu kama kinga
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, mwanaharakati huru aliyekuwa maarufu sana hasa katika awamu ya tano, Bwana Cyprian Musiba, ameomba Watanzania wamuombee kwani anapitia wakati mgumu! ................................ Hoja na Mambo ya kujifunza a) Watanzania wote ni ndugu, wanasiasa wasituvuruge...www.jamiiforums.com


Huyu acha adundwe,Wamemdunda aiseeView attachment 1889249
Umetisha swwetheart

😀😀😀Umetisha swwetheart![]()
Aah, ndiyo mambo yake kumbe.