rukia16
JF-Expert Member
- Feb 27, 2020
- 2,978
- 31,039
Ili uje utafsiri baadae au ndio wivu sina ila roho inaumaTumieni Kiarabu bana. Mnaboa kichizi yaani![]()


Ili uje utafsiri baadae au ndio wivu sina ila roho inaumaTumieni Kiarabu bana. Mnaboa kichizi yaani![]()


Wacha aning'ate tu, lakini ujumbe utakuwa deliveredPaka na mbwa hawaendani,.....babu yangu anafuga mbwa huko pm.




wacha weeh!!!

Babu janja hiliIli uje utafsiri baadae au ndio wivu sina ila roho inauma![]()

Hii sura imekaa kinyamera sana!!!!




Andika barua ya maombi ya kuingia pm,maombi yapite kwa babuWacha aning'ate tu, lakini ujumbe utakuwa delivered![]()

Kichina na Kiarabu ziko katika kiwango kimoja cha ugumu. Nimeshajaribu zote mbili na zote zikanishinda. Kiarabu ni huo mfumo tata wa irabu katika mzizi wa vitenzi na nomino:Ni hao! Kichina kigumu kilinishinda!!
3225Eti elfu tano,makato sh.ngap??![]()




tujenge barabara yakwenda Dole.Ukija unaongea Kiarabu nitakuachilia. Vinginevyo jiandae kwa mashambulizi makaliWacha aning'ate tu, lakini ujumbe utakuwa delivered![]()



Babu janja hili![]()
Njooni PM tu wajukuu zangu tuongee. Miaka 76 sasa wala sina maneno mengi. Njooni mchote busara na nasaha zangu kabla sijaumaliza mwendoUmemuonaee![]()

Nilishapitiaga huu msoto aisee. Maisha bana!!




. Weekend loading...
