moudgulf
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 156,143
- 770,238
Kila mmoja na uraibu wake hapa duniani. We uraibu wako nini? Usije tu ukasema ni kupelekewa moto uwiii![]()





Kila mmoja na uraibu wake hapa duniani. We uraibu wako nini? Usije tu ukasema ni kupelekewa moto uwiii![]()





Innalillahi wainna ilayhi rajiuun
Swichi za taa, za kitambo sana.Ni nini??
Siyo ya kutolea bali ni ya kuingizia

AhsanteSwichi za taa, za kitambo sana.
Ni hao! Kichina kigumu kilinishinda!!Labda muongee kichina,kidogo mtamkomoa lakini sio sana maana anaelewa kidogo
Kifaransa anaelewa![]()
Ongeeni kingoniNi hao! Kichina kigumu kilinishinda!!
