Vituko mitandaoni. Tupia chako

Vituko mitandaoni. Tupia chako

MARTIN MAYANJA MASESE.

na kunao watu wamemfollow taahira kama huyu

Anataka atapike kisa mafanikio ya mwingine

USHAURI WANGU KWAKE.

anywe maji mengi sana kwa sababu badala ya kutolea mapovu mafanikio ya wengine atakua bize tuu kukojoa chooni.

Muda huo atakosa kabisa

Matackle kabisa
Halafu hii kitu nmeshangaa sana. Wengi wa wanaojiita wanaharakati wamemuwekea chuki ya hali ya juu kijana wa watu utafikiri pesa anazopata zmetoka kwenye mgao wa serikali .. wakati mtu anapambana kwa jasho lake lakn kundi la wanaharakati njaa wamejaa na hasira hatari
 
Kama Katiba na sheria zao nyingiene zimekaa kwenye mfumo wa kibaguzi basi wazifumue.
Haiwezekani nchi moja iwe na sheria kwa watu tofauti.
Lakini hili ni jambo lingine, kikubwa sheria iliyopo imetekelezwa.
Kuhusu Jaji au hakimu kujiondoa kwenye shauri lako ni jambo la kisheria.

Mathalani kwa sheria za Tanzania mshitakiwa anaruhusiwa kuomba hakimu abadirishwe, lakini huyo hakimu au Jaji ana hiyari, kujiondoa au kutojiondoa.
 
MARTIN MAYANJA MASESE.

na kunao watu wamemfollow taahira kama huyu

Anataka atapike kisa mafanikio ya mwingine

USHAURI WANGU KWAKE.

anywe maji mengi sana kwa sababu badala ya kutolea mapovu mafanikio ya wengine atakua bize tuu kukojoa chooni.

Muda huo atakosa kabisa

Matackle kabisa
Ni mwanaharakati wa nini huyu mporomosha matusi mitandaoni?
 
. Changed man mai futi!
-6015052362214914395_121.jpg
 
Halafu hii kitu nmeshangaa sana. Wengi wa wanaojiita wanaharakati wamemuwekea chuki ya hali ya juu kijana wa watu utafikiri pesa anazopata zmetoka kwenye mgao wa serikali .. wakati mtu anapambana kwa jasho lake lakn kundi la wanaharakati njaa wamejaa na hasira hatari
Kwenye nyimbo 'sophisticated' ya Rick Ross anakwambia "even the black folk hate to see another nigga made it" ni kawaida yetu binadamu hasa ngozi zetu hizi, yani huwa tunachukia tu mafanikio ya mtu!
 
Back
Top Bottom