Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,383



Bia zimepunguziwa kodi. Tuhamieni kwenye bia achaneni na miamala. Kila ukitaka kutuma pesa nenda ukapige bia badala yake.View attachment 1854992
Hii kitu inatutokea wengi sana




Umeona ututukane kina andunje au sio eeh🙂🙂🙂
Wanasubiri wale yako kwanza 🙂Classmates wanazingua 😂
Sijapita kwenye foleni ya bufee kitambo
Wanasubiri kula mchele kutoka kwenye yako kwanzaClassmates wanazingua 😂
Sijapita kwenye foleni ya bufee kitambo
News about big black chickensUkiielewa hii meme haki ya nani kule Jehanamu ndiyo utakuwa kuni ya kuchomea watenda dhambi wenzioView attachment 1854996


Je na penzi lililochakaa inakuwaje!Penzi jipya
View attachment 1819791
Atakuwa mjita huyoBasi huyo wanne mtasema MSUKUMA mlivyokuwa hamuwapendi ba-ngoshaView attachment 1819793
Wanasubiri kula mchele kutoka kwenye yako kwanza
Mbona watachelewa? 😂Wanasubiri wale yako kwanza 🙂
Hebu nione 😂Umeona ututukane kina andunje au sio eeh🙂🙂🙂
Wana roho mbaya sana.Wataishia kumili smatphone za kugoogle maisha ya wengine.
Cjui anapata taabu sana akiwa waaapi!!!?
M ni ile dark ya 11.30 pm

Nawacharaza bakora yeye na mwanawe walie vizuri
Nikuone au nikuoe 😉😉😉😉.. kina anduje tuna dhalilika sanaaa,Hebu nione 😂