Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,674
- 39,090


Huyu kwanza ana matatizo ya lishe huyu. Msukuma gani wa hivi? Huyu likely ni Mnyaki wa huko huko kwenu; na ameathirika na lishe legelege ya ndizi na maparachichi.
Najaribu kuwaza destination yake ilikiwaje aaahahahahahahahaaahahahahahaaa looh jamanii
Akisema ageuke arudi alikotoka atarudishwa tuu na mteremko wa hiyo slide tena ndo itakuwa mbaya zaidi maana atakuwa anabong’oa
Aaahahahahahahahhahahaaaaaaa uuwiiiiiii nisaidieni jamani aahahahahahahahhaaaaaa

Asante sana nimerudiPole sana mkuu na karibu tena. You were missed!
Washindweeee




Na usiombe wafungwe na simba bus linakimbia siyo kawaida
Mwamba haamini anachokiona.Sitakaa nifanye tena utopolo wa kuingia leba. Akina mama wote heshima zenu sana
View attachment 1832926


alienda kanisani kusali ilikuwa jpili akapitia mazima na bibliaHivi hawa jamaa wanatoka nchi gani? Wanatrend sana huko mtandaon