Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hata kama hiyo nyumba ulimnunulia usiku mlango ukitikisika we kunja ngumi tu uwe tayari kwa lo lote. Waweza kuwa ulimnunulia nyumba mke/mpenzi wa watu....
Hata kama hiyo nyumba ulimnunulia usiku mlango ukitikisika we kunja ngumi tu uwe tayari kwa lo lote. Waweza kuwa ulimnunulia nyumba mke/mpenzi wa watu....
nimecheka zaidi!
Akisema ageuke ndio itakuwa balaa kabisaaNajaribu kuwaza destination yake ilikiwaje aaahahahahahahahaaahahahahahaaa looh jamanii
Akisema ageuke arudi alikotoka atarudishwa tuu na mteremko wa hiyo slide tena ndo itakuwa mbaya zaidi maana atakuwa anabong’oa
Aaahahahahahahahhahahaaaaaaa uuwiiiiiii nisaidieni jamani aahahahahahahahhaaaaaa

. Lakini utaogeleaje uchi kabisa!Akisema ageuke ndio itakuwa balaa kabisaa. Lakini utaogeleaje uchi kabisa!
Hata kama kila mtu yuko hivyo usikae 'butt naked' aisee. Ndio mambo kama hayo yanatokea unajikuta huna jinsiNaona hapo itakuwa without beach, karibia wengi wako without.


Hata kama kila mtu yuko hivyo usikae 'butt naked' aisee. Ndio mambo kama hayo yanatokea unajikuta huna jinsi![]()
Aahahahahahaa itakuwa alinogewa na uterezi wa slides akajisahau badala ya kukenua meno akakenua makalio aaahahhaahhahaahahahahaaa looh![]()



basi acha apimwe Uviko-19basi acha apimwe Uviko-19
Aiseeee hahahahahahKwakweli, tumsaidie cotton buds kwa ajili ya kusukutulia baada ya kipimo mujarabu
Aahahahahhahahaaa.


Kuna staili hapa haziwezekaniki. Usiniulize ni staili za nini. Shwaini





