Napendekeza sanamu lako lijengwe katika kila makao makuu ya Wilaya hapa nchini, upewe ulinzi mkali na jina lako liingizwe katika mtaala wa elimu ya uraia. Safi sana



Haha, watufukuze tuKwenye paji la uso baby ujulikane ni mali yangu mimi tu. (Tutatolewa nduki uzi wa watu)
Hahahahahaha
Mtumishi. Ukiona mmeanza kutegea kutafutana basi jua kuwa mapenzi yameanza kuchacha labda kama kuna sababu zingine za msingi. Na kama mko karibu basi mwenzio anaweza kudhani kuwa kwa vile jioni mtaonana basi si lazima akutafute 24/7. Kama ni mapenzi ya mbali basi hapo hakuna wa kulaumiwa kwa sababu kwanza hakuna mapenzi ya mbali isipokuwa utoto tu na kudanganyanaKama akifa utasikia tu, hakuna msiba wa mtu mmoja jamani
Hivi unavijua vipenzi ambavyo mahusiano yao mengine yamenoga? Kanajifanya busy hadi ukatafute na unakaona tu online, ukikatext tu message ikifika ndiyo kanazima na data kabisa. Ndiyo marehemu kazima data?
Mtumishi na wewe ni tabia yako?![]()




Mtumishi. Ukiona mmeanza kutegea kutafutana basi jua kuwa mapenzi yameanza kuchacha labda kama kuna sababu zingine za msingi. Na kama mko karibu basi mwenzio anaweza kudhani kuwa kwa vile jioni mtaonana basi lazima akutafute 24/7. Kama ni mapenzi ya mbali basi hapo hakuna wa kulaumiwa kwa sababu kwanza hakuna mapenzi ya mbali isipokuwa utoto tu na kudanganyana![]()
Mimi kabisa huyo mkuu😉😉 yaani hapo ukizingua nakuzingua 😂Sio financial services huyu
Mmh hizi memes zako leo soulmate😂
Zimekaaje soulimeti? Kama zimekaa shaghalabaghala nisamehe bana. Nisije nikaja Mbeya halafu uninyime maparachichi. Nitaumia mno !!!Mmh hizi memes zako leo soulmate![]()
Akii nilidhani pakti za majani ya chai😂 poor me kumbe ndomu a.k.a soksiMechi ya ugenini au nyumbani?
View attachment 1829658
Zimekaa kama vile Leo kuna tukio umelipania hivi😂Zimekaaje soulimeti? Kama zimekaa shaghalabaghala nisamehe bana. Nisije nikaja Mbeya halafu uninyime maparachichi. Nitaumia mno !!!