Wenyewe wanajijua,Afadhali hujataja kabila![]()
Point takenTujaribu kujitahidi kutohamishia stress na utopolo wa jukwaa la siasa huku. Tujikite zaidi kwenye vituko mtandaoni bana![]()








Kuna kula mara mbili hapo hapo
Laiti kama kero zote za Muungano zingefanyiwa kazi haya mambo yasingejitokeza.Isingekuwa na mawaziri wa uchukuzi wawili.. Ni nchi moja kisiasa tuu
Inabidi ule kwanza upate nguvu ndio uleKuna kula mara mbili hapo hapo
Nitaanza kula alafu ndiyo nile
"Amen" nimefuta zote nimeacha "KAMASUTRA" tu















sijui kwanin, Ila najikuta naipenda sana hii meme ya uyu dada na nyau
Khaa, ndio maana ni rahisi mwanamume kukudanganya ukaingia kingi. Mistari inashushwa balaa.Isn't this obvious..look at those busty, delicious, succulent, warm and soft boobs![]()