Hawa wasiopitia mafunzoni, ngumu kuelewa haswa kama sio watu wakujiongeza.

We Bata ndo umeshaiharibu namba yako ya nida..🤣🤣
This one though not ur type butHii ndiyo gredi safi ya ukimbaumbau inayotakiwa. Kidemu chembamba cha hivi hata kikiwa na gubu na kisirani mtu unavumilia tu. Vimbaumbau take note please
View attachment 1808216View attachment 1808220



Hii picha hii
