rukia16
JF-Expert Member
- Feb 27, 2020
- 2,978
- 31,039
Naona kakamuliamo soks ya mjeda
Huu ni utani tu mkuu wala hakuna hata ya kujitetea hivi. Wanaume wa Dar vs mikoani, Simba vs Yanga, Wasukuma na Wanyakyusa (ushamba), Wapare (ubahili), Wahaya (majigambo), Wahehe (kula mbwa na kujinyonga)....Utani ni kitu chema katika jamii ali mradi usivuke kiwango na kuharibu heshima!
View attachment 1809241



Wapi Avalon cinema wanaburudishaUtani uendelee..View attachment 1809565
Siyo mchezo kwakweli
Ongezea na hii ni wa walimu wetu kwnye taaluma ya kuzikana
Unataka kuona bint wa kishua wa niniAnaejua hichi kilichofichwa hapa kikoje atupe taswira halisi ipoje
View attachment 1808310









