Vituko mikoani

Vituko mikoani

e4c8140ce92e48d8dd1e6842bc701783.jpg


Mkoani si sawa na vijijini wajameni ...

1. Hakuna sehemu watu wamestaarabika kama mikoani maana ni mara chache kukuta vitu vya watu waliokosa kazi kama vigodoro mara sijui kuchambana..simply ustaarabu

2.hakuna sehemu zenye natural view poa na hali ya hewa nzuri kama mikoani.hivyo ukihitaji sehemu ya kupunguza stress then mkoani ni sehemu poa .

3. Chakula na bidhaa nyinginezo ukizitoa za viwandani ..hupatikana kwa bei nafuuu na maisha huku hayasubiri foleni ..hivyo kwa kiasi fulani ni stress free zone...

4.Magonjwa ya ajabu ajabu kama kipindupindu au upungufu wa nguvu fulani ni nadra kuyasikia pia kutokana na nature ya maisha...

5.huku ndo kuna wataalamu wa asili ambao watu wajanja huja kuogeshwa uchi huku wakililia masuala fulani ..sasa sijui mjanja anaekalishwa na mshamba nimuiteje

6.. huku ndipo wanapotokea waendeshaji wa dar maana wenyeji wameshakimbia na waliokulia huko wengi hawana ustahimilivu na maisha ndo maana wengi wamekuwa wateja badala ya wauzaji...

7. Watu waliopo karibu na mipaka ya nchi ni kawaida kusomesha watoto na kufanya shopping nchi jirani kwa mfano wana kagera wengi wanaijua kampala na kona zake kuliko hata dar na hata bidhaa za madukani kama nguo kwa kanda hii hutokea Uganda...

8. Vituko vya huku ni vituko kweli na kama ni ushirikina bhasi sio ule soft kama ulojo na kama matukio ya shoka ni shoka kweli la kiume...

All in all dar ni sehemu ya biashara hivyo pesa ni rahisi kiasi lakini mikoani ni sehemu ya kuishi vyema..nasubiri treni la magu lije ili nione watu wangapi watalala mikoani na kufanya biashara dsm ...
Hahahha umenena vyema mkuu
 
Wenye mada yenu mko wapiiiii? Bado mko shambani? Au bado mnawinda ndezi?
 
nachoshukuru ni kwamba hizi kamera zimekuja hivi karibuni...kuna mambo mengi ya aibu yamejaa vichwani mwetu
 
JF Manda ya Ziwa mbona kimya sana? Kanda ya kati je? Nyanda za juu kusini? Hebu kujeni acheni noma zenyu hizio... Au huko sio mikoani?
 

Ukawona wabi mwanamuke akinywa bombe (a marwa) na wanaume?? Kweri mnatuapisa kafisa. Harafu machitu yamejikaria yanafyotaka ati wanakunywa a marwa gha bamura! Kha!!! kha khaaaa!!
Hawa ni wahaya sio kwetu Tarime. Kure wanawake kasi yao ni kusombea machi ya moto tu kuweka humo. Ariyekaa kure mwisho ana wake 4 kwenda chuu. Akisikia kirio ati amefiwa anaurisa; Ni yubi?? Hawesi kukimbia nje kwani anajua wamebaki 3.
Kwa kweri ni aipu kupwa kunywa marwa na mawanawake. Naangire kimwi
 
Ukawona wabi mwanamuke akinywa bombe (a marwa) na wanaume?? Kweri mnatuapisa kafisa. Harafu machitu yamejikaria yanafyotaka ati wanakunywa a marwa gha bamura! Kha!!! kha khaaaa!!
Hawa ni wahaya sio kwetu Tarime. Kure wanawake kasi yao ni kusombea machi ya moto tu kuweka humo. Ariyekaa kure mwisho ana wake 4 kwenda chuu. Akisikia kirio ati amefiwa anaurisa; Ni yubi?? Hawesi kukimbia nje kwani anajua wamebaki 3.
Kwa kweri ni aipu kupwa kunywa marwa na mawanawake. Naangire kimwi
Hahaha
 
Back
Top Bottom